Meli tatu za biashara zimeshambuliwa na vitu vya kulipuka visivyojulikana karibu na mlango wa bahari wa Strait of Hormuz, tukio ambalo limeongeza taharuki kubwa kuhusu usalama wa usafiri wa baharini katika mojawapo ya njia muhimu zaidi za usafirishaji wa mafuta na gesi duniani.
Chanzo; Global Publishers