Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Wanne Wauwa Kwenye Sherehe ya Kuzaliwa kwa Mtoto

Takriban watu wanne wameuawa katika tukio la kufyatua risasi kiholela katika sherehe ya kuzaliwa kwa mtoto huko California.

Wengine kumi walijeruhiwa kwa risasi kwenye mgahawa Jumamosi jioni, katika mji wa kaskazini mwa jimbo hilo wa Stockton.

Polisi wa eneo hilo wanasema waathiriwa ni pamoja na watu wazima na watoto. Hali za waliojeruhiwa hazijathibitishwa.

Mshukiwa bado hajakamatwa na polisi wanaamini kuwa shambulizi hilo la risasi "lilikusudiwa".

 

Chanzo; Bbc

Kuhusiana na mada hii: