Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Museveni Atishia Kuwapa Risasi Jeshi na Polisi

Matangazo ya Jioni: Rais wa Uganda Yoweri Museveni amekosolewa kuhusu matayarisho ya kuwapa askari polisi na wanajeshi risasi 120 kwa ajili ya kukabiliana na vurugu za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Januari mwakani.

 Kauli ya Museveni imekosolewa na mpinzani wake mkuu Robert Kyagulanyi ambaye amewatahadharisha polisi na wanajeshi kwamba wasikubali kuwaua wananchi wenzao wakilinda maslahi ya kiongozi asiyeheshimu maisha ya binadamu.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: