Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Burkinafaso Yawakamata Wanajeshi 11 wa Anga la Nigeria

Burkina Faso imewakamata askari 11 wa Jeshi la Anga la Nigeria baada ya ndege yao kuripotiwa kuingia katika anga la nchi hiyo bila ruhusa.

Muungano wa kijeshi wa Afrika Magharibi, Alliance of Sahel States (AES), umeuita tukio hilo uvunjifu mkubwa wa mamlaka ya nchi, na kuongeza mvutano kati ya mataifa jirani.

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: