Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Marekani Yaua Watatu Shambulizi la Bot

Kamandi ya Kusini ya Jeshi la Marekani imesema imefanya mashambulizi dhidi ya boti tatu katika eneo la kimataifa la Bahari ya Pasifiki, ikidai zilikuwa zikisafirisha madawa ya kulevya.

 Tukio hilo limesababisha vifo vya watu wanane, kwa mujibu wa taarifa ya jeshi hilo iliyochapishwa kwenye mtandao wa X.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: