Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Musevi Aukacha Mdahalo wa Wagombea Urais Uganda

 Rais Yoweri Museveni wa Uganda anayewania kuchaguliwa tena kuiongoza nchi hiyo katika uchaguzi wa Januari, 2026, hakujitokeza kushiriki mdahalo wa televisheni wa wagombea kiti cha urais uliofanyika usiku wa kuamkia leo.

Kwenye mdahalo huo wagombea watano kati ya wanane wanaoshiriki uchaguzi huo ndio walijitokeza ikiwemo mpinzani mkuu wa Rais Museveni, mwanamuziki aliyegeukia siasa, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine.

Kulingana na chama tawala cha NRM, Rais Museveni hakushiriki mdahalo huo kutokana na ratiba ngumu ya kampeni.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: