Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Bobi Wine Ahofia Usalama Wake Huku Akiituhumu Familia ya Museveni

Mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine amedai kwamba amekimbilia mafichoni baada ya kuvamiwa na wanajeshi nyumbani kwake.

Ameiambia DW kwamba wanajeshi waliagizwa na Mkuu wao Muhoozi Kainerugaba, mtoto wa Rais Yoweri Museveni aliyepambana naye kwenye uchaguzi wa wiki iliyopita na ambaye anaamini alimshinda.

Wine amesema anahofia usalama wake huku akiishutumu familia ya rais kwa kuchukua hatua kinyume cha sheria, akiongeza kuwa wanafanya wanachokitaka na tayari amearifiwa kwamba wanataka kumdhuru.

 

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: