Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Tanzania, Uganda, DRC Nchi Matatani Kuzuiwa Kuingia Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump anafikiria kupanua marufuku ya kusafiri kwenda Marekani kwa nchi 36 zaidi, nyingi zikiwa barani Afrika, kulingana na taarifa ya siri (cable) iliyonukuliwa na vyombo vya habari. Hatua hiyo inafufua sera tata ya marufuku ya safari iliyotekelezwa katika muhula wake wa kwanza, iliyozua upinzani mkubwa duniani.

Orodha ya nchi zinazoweza kuathirika ni pamoja na Tanzania, Uganda, Nigeria, Ghana, Ethiopia, DRC, Senegal, Zambia, Zimbabwe na nyingine nyingi. Endapo itatekelezwa, hatua hii inaweza kuathiri maelfu ya wasafiri, wanafunzi, wafanyabiashara na familia, huku ikizua mjadala mpya kuhusu uhamiaji, diplomasia na uhusiano wa Marekani na Afrika.

 

 

Chanzo; Cnn

Kuhusiana na mada hii: