Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Ndege Yaangukia Gari Ikitua kwa Dharula

Ndege Ndogo ya Abiria imeliangukia gari dogo aina ya Toyota Camry baada ya kupata hitilafu ikiwa angani na kulazimika kutua kwa dharura barabarani huko Florida Marekani.

Imeelezwa kuwa Dereva wa gari hilo pamoja na Rubani na Abiria waliokuwepo kwenye Ndege hiyo wamenusurika kifo katika ajali hiyo na tayari Mamlaka ya Usafiri wa Anga Marekani (FAA) imeanza uchunguzi kubaini chanzo cha hitilafu iliyosababisha Ndege hiyo kutua kwa dharura.

 

Chanzo; Millard Ayo

Kuhusiana na mada hii: