Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Ukiukwaji wa Haki za Wanawake Waongezeka DRC kwa 11%

Ofisi ya Pamoja ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imechapisha taarifa yake ya miezi sita ya kwanza ya mwaka 2025, inaonesha ongezeko la asilimia 11 ya ukiukaji wa haki za kibinadamu na ongezeko la asilimia 12 ya waathirika ikilinganishwa na miezi sita ya mwaka uliopita huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

 

Chanzo;  Dw

Kuhusiana na mada hii: