Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

G-20 Yahitimishwa Afrika Kusini

Mkutano wa ngazi ya juu na wa kwanza kufanyika barani Afrika wa kundi la mataifa yenye uchumi mkubwa duniani, G20, ambao pia umekuwa wa kwanza kususiwa na mmoja wa wanachama wakuu wa kundi hilo, Marekani, ulihitimishwa rasmi jana jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: