Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Papa Leo Atembelea Msikiti wa Bluu

Kabla ya kuingia Msikitini, Papa Leo alivua viatu na kuinama kidogo, kisha kutembezwa na Imamu wa Msikiti na Mufti wa Istanbul ndani ya msikiti huo unaowakusanya Waumini wapatao 10,000.

Hii ni ziara ya kwanza ya kigeni kwa Papa Leo tangu aingie madarakani ambapo pia anatazamiwa kuzuru Lebanon.

Papa huyo wa kwanza mwenye asili ya Marekani, anatarajiwa kuzungumza kwa mapana juu ya amani ya Mashariki ya Kati.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: