Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Vijana Kadhaa Wakamatwa Kenya Wakiunga Mkono Maandamano ya Tanzania

Vijana kadhaa wa Kenya wamekamatwa wakiunga mkono maandamano yaliyopangwa kufanyika Disemba 09 nchini Tanzania. Wanasema walifika kwenye Ubalozi wa Tanzania mjini Nairobi kuonesha mshikamano na wenzao wa Tanzania. Maafisa nchini Tanzania waliyapiga marufuku maandamano ya umma na kwa jumla hapakuwa na watu waliojitokeza mitaani.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: