Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

M23 Waanza Kujiondoa Uvira

Waasi wa M23 wameanza kuondoka katika mji wa Uvira, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kufuatia agizo na shinikizo kutoka Marekani. Hatua hiyo inatazamwa kama dalili ya awali ya utekelezaji wa juhudi za kidiplomasia za kupunguza mvutano na kurejesha utulivu katika eneo hilo lililokumbwa na mapigano makali.

 

Chanzo; Cnn

Kuhusiana na mada hii: