Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Afrika Kusini Yathibitisha Kutoshiriki Mkutano G20 Marekani

Afrika Kusini imethibitisha haitahudhuria Mkutano wa Kilele wa G20 wa mwaka 2026 Marekani baada ya maafisa wa Marekani kukataa kuipatia idhini rasmi (accreditation) hatua ambayo imezuia ushiriki wa ujumbe wa nchi hiyo.

Waziri wa Fedha wa Afrika Kusini, Enoch Godongwana alisema nchi hiyo itasusia mikutano ya G20 wakati wa uenyekiti wa Marekani, lakini inapanga kurejea kushiriki mikutano ijayo itakayofanyika katika nchi nyingine.

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: