Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Rais Akamatwa Siku Tatu Baada ya Uchaguzi

Rais wa Guinea-Bissau, Umaro Sissoco Embaló, amekamatwa na watu wenye silaha leo, siku 3 baada ya uchaguzi ambao mgombea mkuu wa upinzani aliondolewa.

Embaló na mpinzani wake, Fernando Dias, wote wametangaza kushinda, huku Dias akipinga matokeo hayo. Tume ya uchaguzi imesema matokeo ya mwisho yatatangazwa kufikia Alhamisi.⁣

Lakini wanajeshi wa Guinea-Bisau tayari wametangaza mapinduzi

Guinea-Bissau, ambako wananchi zaidi ya asilimia 65 walijitokeza kupiga kura, ina historia ndefu ya mapinduzi na misukosuko ya kisiasa.

 

Chanzo; Bbc

Kuhusiana na mada hii: