Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Korea Kaskazini Yatembeza Mkwara Marekani

Serikali ya Korea Kaskazini imeonya kuhusu madhara yatakayojitokeza kufuatia mazoezi ya kijeshi yanayofanywa kwa pamoja kati ya Marekani na Korea Kusini.

Dada wa kiongozi wa nchi hiyo, Kim Yo Jong, alionya kuwa mazoezi hayo kati ya Marekani na Korea Kusini yatachochea vurugu katika eneo hilo, akisisitiza kuwa Korea Kaskazini itaimarisha uwezo wake kukabiliana na vitisho vitakavyojitokeza.

"Kutushiana misuli kunaweza kuleta shida kwahiyo maadui zetu wasitujaribu”, alionya Kim Yo Jong.

 

Chanzo; Eatv

Kuhusiana na mada hii: