Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Ruto Asema Hatobadili Katiba Asalie Madarakani

Rais wa Kenya, William Ruto, amesema hana mpango wa kufanyia Katiba marekebisho yatakayomruhusu kuendelea kuongoza taifa hilo zaidi ya vipindi viwili vya miaka mitano vilivyowekwa kikatiba.

Ruto amesisitiza kuwa kuheshimu mipaka ya uongozi iliyowekwa na Katiba ni muhimu kwa kudumisha demokrasia na utawala wa sheria na kwamba hatothubutu kuunga mkono juhudi zozote za kuongeza muda wa Urais.

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: