Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

“Kama Ulaya Inataka Vita na Urusi, Tuko Tayari”

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema leo Jumanne kuwa Urusi haitaki vita na mataifa ya Ulaya, lakini iwapo Ulaya itataka vita, basi Urusi iko tayari kupigana sasa.

Putin ameongeza kuwa mataifa ya Ulaya yanaweka masharti kuhusu makubaliano ya amani kwa Ukraine ambayo Moscow inayaona kuwa hayakubaliki kabisa. 

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: