Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Risasi Zaua Watu 10 Bonde Bichi

Takriban watu 10 wamefariki na wengine 12 kujeruhiwa kufuatia shambulio la ufyatuaji risasi lililotokea Bondi Beach, Sydney, polisi wamesema. Miongoni mwa waliokufa ni raia tisa na mshambuliaji mmoja. Polisi kadhaa pia wamejeruhiwa wakati wa operesheni ya kuudhibiti mkasa huo.

Washukiwa wawili wameshikiliwa, huku mamlaka zikionya uwezekano wa tishio la bomu na kuwataka wananchi kuepuka eneo hilo hadi hapo itakapotolewa taarifa zaidi.

 

Chanzo; Cnn

Kuhusiana na mada hii: