Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Aibuka Shujaa kwa Kuzuia Mauaji ya Wayahudi

Alikuwa ni muuza matunda wa kawaida tu mitaani, lakini sasa Ahmed al-Ahmed, mtoto wa mkimbizi anayeishi Sydney , amegeuka kuwa shujaa wa Australia na ulimwengu kwa jumla.

Akimkabili mmoja wa washambuliaji wa Bondi Beach, alimnyang’anya bunduki na kuokoa maisha ya mamia ya wayahudi waliokuwa wakisherehekea sikukuu ya mishumaa ya Hannuka.

Pamoja na kwamba alipigwa risasi mara mbili, Ahmed anauguza majeraha baada ya upasuaji na sasa amepata umaarufu kote duniani mbali na kuchangiwa dola milioni moja na wahisani.

 

 

Chanzo; Bbc

Kuhusiana na mada hii: