Mafuriko ya makubwa yaliyotokana na mvua kubwa na ya ghafla yameuawa watu 21 katika mji wa pwani ya Moroko wa Safi.
Picha zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zinaonesha maji yaliyochanganyika na matope yakizikokozowa gari na takataka kwenye mitaa ya mji huo ulio umbali wa kilomita 300 kusini mwa mji mkuu, Rabat.

Chanzo; Dw