Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Auawa na Kaka Yake kwa Kuchomwa na Kisu Akiamulia Ugomvi

Ni huzuni kwa wakazi wa kitongoji cha mpakani kata ya Ijombe halmashauri ya wilaya ya Mbeya wakiomboleza kifo cha kijana Ndele Mwananginga aliye fariki dunia baada ya kuchomwa na kisu na kaka yake, akiamulia ugomvi ulio muhusisha kaka yake.

Ndugu na majirani wa familia hiyo wanaeleza masikitiko yao juu ya kifo hicho kinachodaiwa kua ni kisa cha kwanza kutokea kwenye kitongoji chao kiki husisha ndugu wawili wa familia moja.

Ambius Aron ni mwenyekiti wa Serikali ya kitongoji cha Mpakani anaeleza tukio hilo lilivyo tokea ambapo marehemu alipigiwa simu usiku ikimtaarifu kuwa kaka yake kuanzisha vurugu kwenye kilabu cha pombe ndipo akaenda kwaajili ya kuamulia na kumchukua ndugu yake.

 

 

 

Chanzo; Wasafi

Kuhusiana na mada hii: