Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Polisi Tanzania Yaonya Maandamano Disemba 9

Polisi ya Tanzania imewaonya wote wanaopanga awamu nyingine ya maandamano ya umma ikisema taifa hilo haliko tayari kushuhudia kile imekitaja kuwa "machungu na madhara" yaliyoshuhudiwa wakati na baada ya uchaguzi wa mwezi Oktoba.

Maafisa wa usalama nchini humo wanatuhumiwa kuwaua mamia ya waandamanaji waliojitokeza kupinga uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, ambao ulimrejesha madarakani Rais Samia Suluhu Hassan.

Msemaji wa polisi ya Tanzania, David Misime amesema maandamano mengine yanayopangwa mnamo Disemba 09, 2025 hayakubaliki na yanakiuka haki za raia wengine.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: