Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mali za Watuhumiwa wa Dawa za Kulevya Zataifishwa

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imefanikisha ukamataji wa jumla ya kilogramu 3,799.22 za dawa za kulevya, kuteketeza ekari 18 za mashamba ya bangi pamoja na kutaifisha mali za wahalifu zenye thamani ya shilingi bilioni tatu na milioni mia tatu na nne (3,304,000,000/=) katika operesheni mbalimbali zilizofanyika mwezi Novemba. Jumla ya watuhumiwa 84 walikamatwa kuhusiana na uhalifu huo.

 

Chanzo; Clouds Media

Kuhusiana na mada hii: