Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Nyumba Yaharibu Mashamba na Nyumba 12

Upepo mkali umeezua na kubomoa nyumba 12 katika vijiji vya Matai B na Kateka wilayani Kalambo, mkoa wa Rukwa.

Maafa hayo yamesababisha watoto saba kujeruhiwa na kuacha familia kadhaa bila makazi baada ya nyumba zao kuharibiwa vibaya na dhoruba hiyo.

Mbali na makazi, wakazi wa vijiji hivyo wameeleza kuwa mvua hiyo imeharibu vibaya mashamba ya mahindi na maharagwe.

Tukio hilo limeacha simanzi kwa wananchi ambao sasa wanakabiliwa na changamoto ya makazi pamoja na hofu ya upungufu wa chakula kufuatia uharibifu wa mazao yao.

 

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: