Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Hali Ilivyo Ufufuo na Uzima Baada ya Kauli ya Waziri Mkuu

Kutoka Ubungo -Chai bora, jijini Dar es Salaam yalipo makao Makuu ya Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo chini ya Askofu Dkt. Josephat Gwajima, Bongo5 imepita na kushuhudia baadhi ya waumini wa Kanisa hilo wakiwa wamejitokeza kwenye viunga vya Kanisa hilo mchana wa leo, Jumanne Novemba 25.2025



Taarifa zinaeleza kuwa waumini hao wamejitokeza kwenye viunga hivyo kufuatia agizo lililotolewa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ambaye Novemba 24.2025 alimuagiza Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kuhakikisha wanalifungulia Kanisa hilo, ili waumini wake waendelee na ibada huku likiwa kwenye uangalizi maalum, agizo lililoenda sambamba na ‘nyumba’ nyingine za ibada

 

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: