Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

“Nchi Haitaongozwa Kama Rimoti” - Nchemba

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Tanzania haiwezi kuongozwa kwa rimoti kutoka nje ya mipaka yake.
Mwigulu ameyasema hayo wakati akizungumza na wananchi wa Uyole mkoani Mbeya ikiwa ni muendeleo wa ziara zake za kukagua miundombinu iliyoharibiwa wakati wa vurugu za kabla, wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. 

“Wanaomezea mate urani, watamezea mate mpaka na ulimi hii nchii haitaongozwa kama rimoti” - Nchemba

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: