Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Disemba 9, Usitoke Kama Hakuna Ulazima

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametuma ujumbe kwa Watanzania kuelekea Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru, Disemba 9, 20205.

Taarifa iliyotolewa leo Disemba 8 na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchema imewataka wananchi wasiokuwa na dharura siku hiyo kuitumia kupumzika majumbani kwao.

Ameongeza kuwa, wale ambao majukumu yao ya kikiazi yanawalazimu kufika katika vituo vyao vya kazi watafanya hivyo kwa kufuata maagizo ya viongozi wao.

 

Chanzo; Eatv

Kuhusiana na mada hii: