Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Samia “Msikubali Jeshi Kuchafuka”

Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania amelitaka jeshi la nchi hiyo kutojiingiza katika siasa.

''Hiki chombo kuwe kuna CCM kuwe kuna CHADEMA kuwe kuna chama gani, Hiki chombo kiko tu kwaajili ya kuilinda nchi na kulinda wananchi wa nchi hii''

Samia alikuwa akizungumza katika mkutano wa 9 wa mkuu wa majeshi CDF na makamanda wakuu uliofanyika katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa Anga (SKUA) mkoani Tanga.

 

Chanzo; Bbc

Kuhusiana na mada hii: