Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

CWT Yaomba Walimu Kupunguziwa Majukumu

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimekutana na zaidi ya walimu viongozi 400 kutoka mikoa sita ya Nyanda za Kusini na Mashariki, kujadili changamoto na masuala mbalimbali ya kiutumishi ambapo katika mkutano huo, viongozi wa chama wameiomba Serikali kuwapunguzia walimu mzigo wa kusimamia miradi ya ujenzi wa shule, ili kuwapa nafasi zaidi ya kujikita katika ufundishaji na kuongeza ufaulu wa wanafunzi.

Rai hiyo imetolewa na Rais wa CWT, Dkt. Sulemani Ikomba, wakati wa mkutano wa walimu wa Kanda ya Kusini na Mashariki (SETCO) uliofanyika katika Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma.

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: