Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Watoto Wawili Wateketea kwa Moto Moshi

Watoto wawili wa familia moja katika eneo la Katanini Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wamefariki dunia kwa kutetekea kwa moto, chanzo cha moto huo hakijajulikana.

Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani hapa, Jeremiah Mkomagi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo leo Desemba 17,2025 saa 5 asubuhi na kuwataja waliofariki kuwa ni Geriel Shayo(4) na Leon Shayo(2).

 

Chazo; Mwananchi

Kuhusiana na mada hii: