Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Wanandoa Mbaroni kwa Kuua Kichanga cha Wiki 3

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata Pendo John Matongo (19) mkulima mkazi wa Mwembesongo na kumbuka Kwalitaho Barafwa (22) mkulima mkazi wa Mwembesongo kwa tuhuma za mauaji.

Tukio hilo limebainika Novemba 27, 2025 asubuhi katika eneo la mto Morogoro mtaa wa Mchuma Kata ya Kichangani, Manispaa ya Morogoro, ambapo maiti ya mtoto mchanga aitwaye Selina Kumbuka (wiki 3) ilikutwa ikiwa imetupwa na kutelekezwa baada ya kuuawa na wawili hao.

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: