Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Polisi Wakanusha Taarifa ya Watu Wasitoke Majumbani

Jeshi la Polisi nchini, kupitia kwa Msemaji wake wa Polisi (DCP) David Misime, limetoa taarifa kwa vyombo vya habari kwamba taarifa inayoenezwa mitandaoni inayodai kuwa kuanzia Desemba 5 wananchi wasitoke nje kuanzia saa kumi na mbili jioni kwa makundi makundi kutokana na maandamano yanayotarajiwa si ya kweli.

Amesisitiza kuwa Jeshi la Polisi halijatoa taarifa yeyote ya aina hiyo na kuwa wananchi waipuuze kwa kuwa ni uzushi unaolenga kupotosha umma.

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: