Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Samia Atupa Kijembe Wanaonyemelea Urais 2030

"Vijana wanaongalia 2030, niwaambie kwamba safari hiyo isiende kutuvurugia nchi yetu. Nilizungumza na mawaziri wangu nikawaambia mmoja mmoja kama una nia hiyo kaa nje usifanye hivyo ukiwa kwenye Serikali yangu.

Mungu ndiye anajua nani kiongozi wetu baadaye, unaweza kujipanga, ukawa na mikakati na usiwe kwani wangapi walijipanga na walikuwa na nguvu hadi za kifedha lakini je walikuwa?"- Rais Samia Suluhu Hassan

 

Chanzo; Mwananchi

Kuhusiana na mada hii: