Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mwandambo Anashikiliwa kwa Tuhuma za Uchochezi na Uchonganishi Mtandaoni

Baada ya taarifa mtandaoni kusema Mwanamitandao maarufu nchini Tanzania ametekwa na watu wasiojulikana Novemba 21,2025, nyumbani kwake.

Jeshi la Polisi, latoa ufafanuzi juu ya uvumi huo kwa kusema Mwandambo anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za Uchochezi na uchonganishi.

Taarifa hiyo iliyotolewa Novemba 22,2025 inasema “Jeshi la Polisi linamshikilia Mwalimu Clemence Mwandambo kwa tuhuma za uchochezi.”

Ambapo Mwandambo, alikamatwa Novemba 22,2025, Asubuhi maeneo ya Uzunguni, Mbeya akitoa na kusambaza maneno ya uchochezi na uchonganishi kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii facebook na instagram.

 

Chanzo; Tanzania Journal

Kuhusiana na mada hii: