Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Chalamila Kuhusu Watu Kuondoka Dar es Salaam

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema kuwa watu wanaosafiri kwenda mikoani ni jambo la kawaida linalotokea kila mwaka, na si kitu cha kushangaza au kuhusishwa na sababu nyingine.

“Naomba niwaambie kitu kimoja: kama kweli kuna adui, atakuwa amefanikiwa endapo atagundua kuwa tumeingiwa na woga. Woga ni janga kubwa; akikutisha ukatishika,” alisema Chalamila.

Akaongeza: “Ndio maana Rais amesema kwamba kwa namna yoyote ile tutaendelea kulilinda taifa letu.”

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: