Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Viongozi wa Chauma Wapata Ajali Gari Lagongwa

Viongozi wawili wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu na Moza Ally, wamepata ajali baada ya gari walilokuwa wakisafiria, Toyota Prado lenye namba za usajili, T847 DKR, kugongwa kwa nyuma na gari aina ya Subaru Forester lenye namba za usajili T491 EGT.

Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi, ajali hiyo ilitokea usiku wa jana, Januari 20, 2026 majira ya saa 5:20 katika eneo la Morocco, Kinondoni jijini Dar es Salaam.

 

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: