Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Ndugu wa Kesi ya Watuhumiwa wa Uhaini Wafurika Kisutu

Baadhi ya ndugu wa watuhumiwa wanaokabiliwa na kesi ya uhaini, wamefurika katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam, wengine wakiwa na maua, kusubiri ndugu zao waachiwe.

Idadi kubwa ya watuhumiwa hao, waliachiwa hapo jana kufuatia agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kutaka walioshiriki kwenye maandamano ya Oktoba 29, 2025 waachiliwe.

Jambo hilo limewapa nguvu baadhi ya ndugu ambao wanatarajia ndugu zao wanaweza kuachiwa huru leo.

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: