Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Butiku, Kuhusu Alipo Polepole

Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mwalimu Nyerere Foundation, Mzee Joseph Butiku, amesema hana taarifa zozote kuhusu alipo aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi na Cuba, Humphrey Polepole, tofauti na taarifa zinazozagaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa huenda anafahamu alipo au kilichompata.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Januari 19, 2026, Mzee Butiku alisema hafahamu mahali alipo Polepole kwa sasa, akisisitiza kuwa taarifa zinazomhusisha na suala hilo si za kweli.

 

 

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: