Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Polisi Kula Sahani Moja na Wahatarisha Amani, Usalama

Jeshi la Polisi nchini limesema linaendelea kulinda usalama wa raia na mali zao, ili kuhakikisha wanaendelea na shughuli zao kama kawaida, huku likionya kama kuna ambaye atajitokeza na kukaidi kutii sheria za nchi kwa lengo la kuhatarısha usalama wa nchi na kusimamısha
shughuli za kiuchumi na kijamil zisiendelee kama wanavyo
hamasishana na kudanganyana, watawadhibiti ili nchi ibaki salama na Watanzania wema na wapenda amani wabaki salama.

Hayo yamebainishwa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, DCP David Misime, na kutoa wito kwa wananchi kuendelea kufanya shughuli zao na kufuata maelekezo watakayo kuwa wanapewa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama maeneo yote nchini na kutii sheria za nchi kwani hayo yote yanafanyika ili Taifa liendelee kuwa salama.

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: