Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Upelelezi Kesi ya Mange Kimambi Haujakamilika

Dar es Salaam. Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwanaharakati maarufu kwenye mitandao ya kijamii ya X na Instagram anayeishi Marekani, Mange Kimambi, umedai kuwa bado unaendelea na upelelezi.

Wakili wa Serikali Mwandamizi, Clemence Kato ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa kutajwa.

Kato ametoa taarifa hiyo leo, Alhamisi Desemba 4, 2025, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Hassan Makube, wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya kutajwa.

 

Chanzo; Mwananchi

Kuhusiana na mada hii: