Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Jeshi Lakoselewa Kuingilia Masuala ya Uchaguzi

Asasi za kiraia, wadadisi wa masuala ya utawala wanasiasa na watu mbali mbali wamekosoa uhusika wa moja kwa moja wa wanajeshi katika uchaguzi nchini Uganda.


Kwa mtazamo wao mienendo hii inatishia mchakato wa kujenga demokrasia ambao msingi wake ni uchaguzi sambamba na kutishia haki za binadamu. Hii ni kutokana na utekaji unaofanywa na vikosi vya jeshi ambao umeshuhudiwa kuongezeka katika siku za hivi karibuni.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: