Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Balaa!! la Kanye West Matumizi ya Pesa

Kanye West aliwahi kulipa takribani dola 3,900 ambayo ni sawa na Milioni 9.5 ili apate chakula alichokipenda kisafirishwe kwa ndege kutoka Wales hadi New York City.

Chakula hicho kilisafirishwa kwanza kwa helikopta, kisha kwa ndege.

Wafanyakazi wa mgahawa mmoja nchini Wales walisema oda hiyo iliomba chakula kamili cha Kihindi, ambacho walikipakia mara moja, Kilipelekwa kwa helikopta hadi uwanja wa ndege, kisha moja kwa moja kikaingia kwenye ndege na kuanza safari ya kuvuka Atlantiki.

Chakula kilifika New York siku hiyo hiyo, kikiwa bado kipo vizuri kwa Kanye na timu yake.

Mgahawa huo baadaye ulisema ilikuwa mojawapo ya oda za ajabu zaidi za watu mashuhuri walizowahi kupokea.

 

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: