Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Tuzo za TFF 2024/25 Zaahirishwa

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuahirishwa kwa hafla ya Tuzo za Msimu wa 2024/2025 ambayo awali ilipangwa kufanyika Desemba 5, 2025.

Kwa mujibu wa taarifa ya TFF, uamuzi huo umetokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa waandaaji kwa kipindi hiki.

“Tarehe mpya ya kufanyika kwa hafla hiyo itatangazwa mara tu itakapopangwa,” imeeleza sehemu ya taarifa hiyo.

TFF imewahakikishia wadau na mashabiki wa soka kuwa watapewa taarifa mapema pindi maandalizi yatakapokamilika.

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: