Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Kikwete na Iniesta Gwiji wa Barcelona

Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa na Andrés Iniesta, gwiji wa soka wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Spain, walipokutana katika Uwanja wa Ndege wa Casablanca wakijiandaa kuondoka.

Iniesta, ambaye kwa sasa amestaafu soka la ushindani na anaendelea na shughuli za mafunzo na maendeleo ya soka nchini United Arab Emirates (UAE), pia alikuwepo nchini Morocco kushuhudia fainali ya AFCON kati ya Morocco na Senegal.

 

 

Chanzo; Millard Ayo

Kuhusiana na mada hii: