Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Torres Alifunga Magoli Mashindano 7 Msimu 1

Fernando Torres ndiye mchezaji pekee katika historia ya soka kufunga katika mashindano saba tofauti katika msimu mmoja.

Msimu wa 2012/13 akiwa na Chelsea alifanikiwa kufunga katika mashindano haya.

- Ligi Kuu
- Kombe la FA
- Kombe la Ligi
- Ngao ya Jamii
- Kombe la Dunia la Klabu ya FIFA
- UEFA Super Cup
- UEFA Europa League (na kunyanyua kombe)

Mashindano 7, magoli 7, Fernando Torres alifanikiwa kuiweka rekodi hiyo ambayo inadumu mpaka sasa.

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: