Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Matokeo Mechi za Mzunguko wa Kwanza CAF

Matokeo ya mechi zote za mzunguko wa kwanza kombe la Shirikisho Barani Afrika.

• CR Belouizdad 2–0 Singida Black Stars
• Maniema Union 2–0 Azam FC
• Stellenbosch 1–0 AS Otôho
• Djoliba AC 0–1 Olympic Club Safi
• Al Masry 2–1 Kaizer Chiefs
• USM Alger 3–2 FC San Pedro
• Wydad AC 3–0 Nairobi United
• Zamalek 1–0 Zesco United

Timu mbili za Tanzania zinashiriki mashindano haya ambazo ni Azam Fc pamoja na Singida Black Stars na zote zikiwa zinashiriki kwa mara ya kwanza hatua hii ya makundi katika historia ya klabu hizo zimepoteza mchezo.

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: