Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Tyson na Mayweather Kupigana Afrika

Bondia nguli wa Ndondi Duniani Mike Tyson, mwenye umri wa miaka 59, ametangaza rasmi kuwa pambano lake dhidi ya Bingwa wa zamani wa dunia, Floyd Mayweather Jr. litafanyika barani Afrika mwezi Machi 2026.

Ikimbukwe mwezi Septemba, Tyson alionyesha kushangaa kitendo cha mpinzani wake Mayweather kukubali kupambana naye, akisema “Hili ni jambo ambalo mimi hata dunia hatukutarajia lingeweza kutokea. bado siamini kwamba Floyd anataka kweli kupigana, hili litakuwa na athari kubwa kiafya kwake.”

Mayweather hakusita kujibu kupitia mitandao yake ya kijamii akindika “Nimekuwa nikifanya hili kwa miaka 30, na hakuna bondia hata mmoja aliyewahi kuharibu urithi wangu. Unajua kwamba kila ninachokifanya huwa ni kikubwa na cha kihistoria, Mimi ni bora zaidi kwenye biashara ya ndondi, hili pambano litawapa mashabiki kile wanachokitaka.”

 

Chanzo; Eatv

Kuhusiana na mada hii: