Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mbappe Kama Ronaldo Madrid Mabao 70

Staa wa Ufaransa, Kylian Mbappé, amefikia rekodi ya kushangaza baada ya kufunga mabao 70 akiwa na Real Madrid, sawa na Cristiano Ronaldo.

Mbappé amefanikisha kufunga mabao 70 katika mechi ya 81 za Real Madrid, ikilinganishwa na Cristiano Ronaldo aliyefanya hivyo katika mechi 75 pekee.

Mabao 70 Mbappé:  81 Mechi

Mabao 70 ya Cristiano: 75 Mechi

Kwa kasi na uthubutu huo, Mbappé anaendelea kuthibitisha kuwa ni mmoja wa wachezaji wenye mvuto mkubwa wa soka duniani na anaendelea kushirikisha historia ya klabu ya Real Madrid.

 

 

Chanzo; Mwanaspoti

Kuhusiana na mada hii: